.

Ha-He Lyrics

Microphone check one, one two (Musyoka)

ukiwasha nare Mathare 'taonja vibare
mi si mnati, si barbie, niko tu katikati
staki kuskiza story za charity, charity
nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
sema oh
Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Serikali haijali
so naona mbwa kali afadhali
dame amejam juu dough haikam
na siwezi k**-show ati life ni exam juu
ntatupiwa sufuria
na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
so nikikupita tao, tao
jua sio madharau-rau

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya
nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks
hatuchezi na kazi
usipoteze wakati
tumekunja mashati

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya
Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks

nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks
Report lyrics
Top Just a Band Lyrics