.

Malaika Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika
Kidege, hukuwaza kidege
Kidege, hukuwaza kidege
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa kidege
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa kidege
Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Ningekuoa Malaika
Nashndwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika

ANGEL
Angel, I love you angel
What should I do, your lover
I am defeated by money
I don't have any
I would marry you, angel

Money is troubling my soul

Little bird
I always dream of you little bird
Report lyrics